Mkuu napata wasiwasi...kama kuna watu hawajalipwa miaka 5 sasa walipobomolewa nyumba zao kupisha upanuzi wa barabara...na kwa sasa wameanza kuweka alama x kwenye nyumba hapa kigamboni kupisha mradi wa mji mpya wa kigamboni...kweli tutalipwa?
Nimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.