Recent content by collimore

  1. C

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nicheki kwa 0784 551606@Sarry86
  2. C

    Ushauri: Mh. Lukuvi angalia mambo haya

    Mkuu napata wasiwasi...kama kuna watu hawajalipwa miaka 5 sasa walipobomolewa nyumba zao kupisha upanuzi wa barabara...na kwa sasa wameanza kuweka alama x kwenye nyumba hapa kigamboni kupisha mradi wa mji mpya wa kigamboni...kweli tutalipwa?
  3. C

    Nina sh 500,000, nahitaji simu imara!

    Nipm uchukue sumsung galaxy s5...iko bomba.
  4. C

    Bomoabomoa inakuja Kigamboni

    Nimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.
  5. C

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Ndugu Ndugai unaibu spika kachemsha ataweza u spika..
  6. C

    Aggrey Mwanri yuko wapi?

    Huyu jamaa yupo vizuri....namfahamu miaka mingi tangu tukiwa chuo cha ccm Kivukoni .
  7. C

    Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

    Ina maana tangu 2013 uchunguzi ndio umekamilika sasa...au kwa kuwa kurukia upande mwingine....
  8. C

    Mkopo wa haraka

    Imetumika miezi 7..
  9. C

    Mkopo wa haraka

    Thanks wakuu nimefanikiwa...... mfudu simu ya milion moja kwa 250,000.!!!
  10. C

    Mkopo wa haraka

    Dhamana kama zipi Bulongwa...nipm no yako tuongee...
  11. C

    Mkopo wa haraka

    Nahitaji mkopo wa haraka wa 250,000 Tshs nitarudisha na riba baada ya wiki 2. Dhamana ni simu Samsung galaxy s5 yenye thamani ya 600,000 Tshs.
  12. C

    Chumba master kinakodishwa

    Ahaaaaa....haya bhana...
  13. C

    Chumba master kinakodishwa

    Vipi ipo barabarani au ndani kidogo...
  14. C

    Chumba master kinakodishwa

    Iko barabarani au unaingia ndani ?
Back
Top Bottom