Habari wakuu,
Mimi ni fundi ninayeanza(beginner) wa vifaa mbalmbal vya umeme hususa Ni cm sasa nimekutana na changamoto wakat nafungua monitor iliyoingiliwa maji ghafla ile mikanda inayoshika kioo ikaachia nilipowasiliana na fundi mwenzang akaniambia ile mikanda inagundishwa kwa kutumia gundi...
Unachosema Ni kweli maana hata Mimi Kuna cku nilimkutanisha mtumishi mmoja hakutaka kabisa kuhusianisha dini na historia Mimi binafsi nilijua tu Ni kwa sababu ukichimba sana dini kihistori jibu utapata Ni biashara mean historia÷dini=biashara na historia ndio huwa inafichua madudu ya dini mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.