Recent content by CoderM

  1. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Wakiwa wao ni wamiliki, hapo hakuna riba ila kama na wao wananunua ndio wakupe ulipe kidogo kidogo hapo ndio riba inapatikana. Asante ngoja niwafuatilie nitaleta mrejesho.
  2. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Kutokua na pesa ni kwa kipimo gani? Kwa mfano kati ya watoto watano nilionao wanne wameanza shule na hakuna hata mmoja anaesoma st. kayumba. Kwa ufupi hela ya kukidhi mahitaji ya familia inapatikana lakini kupiga hatua kadhaa mbele ndio tunazifosi.
  3. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Hapo sasa.
  4. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Vipi kama ikawa ni used tayari kwenye good condition halafu ikawa mkataba wa miaka mitatu nayo itakua utapeli? Au umeamua kuchagua upande wa kusapoti pointi yako.
  5. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Akikukopesha mali inakua sio riba bali ni faida, ni elimu pana kidogo ambayo ni kama hesabu za hasi na chanya.
  6. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Jina la dhamana linasoma jina la mkopeshwaji, nyumba ya zamani kidogo, ya vyumba vitatu, subule, dining, jiko na choo ndani. Uwanja ni karibu heka moja kasoro ambayo yote imezungushiwa fensi.
  7. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Huu sio mkopo wa kufilisi mtu, huu ni mkopo kazi. Vikishindikana mwenye mali yake anaichukua na mimi naendelea kupambana na maisha mengine.
  8. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Fafanua kidogo ni wakina nani hao? Ni wauza magari au ni taasisi ya mkopo.
  9. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Nina ishi maisha ya kipato cha kati lakini malengo ni mengi na umri unasonga. Kuhusu kuwalea biashara inajitosheleza ila kuwatengenezea kesho yao ndio nnaipambania.
  10. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Mko Mkopo wa benk za kiislamu haujatimiza masharti ya mkopo wa kiislamu. Kwa sababu mkopeshaji sio mwenye kumiliki mali anayoikopesha. Kwahiyo zile ni riba zilizojificha kwenye kichaka cha faida.
  11. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Alhamdulillah mi ni Sallafy. Lakini suala la kuzaa mpaka biblia imesisitiza “Mungu akawabariki, Mungu akawaambia: Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha…"
  12. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Asante sana kijana.
  13. CoderM

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Habari zenu wanajamvi? Mimi ni Mpambanaji(Muhitimu wa chuo kikuu UDSM) nilimaliza pale 2015. Nina miaka 35, nna familia ya mke na watoto watano. Kwa sasa niko Kilimanjaro. Katika harakati nyingi nilizofanya (kilimo, ufugaji na graphics na web design) nilibahatika kununua gari aina ya toyota...
  14. CoderM

    Naingia kwenye kufuga kuku chotara (Saso)

    Kuna mtu kwenye uzi mmoja alikua anaomba ushauri kuhusu mradi wa kuku. Nilimpa ushauri huu ambao nimeona niupost hapa huenda wanaofuatilia uzi huu wakapata kitu kidogo cha kujifunza. 👇👇👇 Mwaka 2019 nilikua nna wazo kama lako, na ni mawazo ya wafugaji wengi sana. Tofauti yangu na wewe ni idadi ya...
  15. CoderM

    Naomba ushauri wako nasaha juu ya kufikia malengo ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka mmoja na miezi sita

    Mwaka 2019 nilikua nna wazo kama lako, na ni mawazo ya wafugaji wengi sana. Tofauti yangu na wewe ni idadi ya mifugo mi nilitamani nifikishe 1000 ndani ya mwaka mmoja we unahitaji kufikisha 5000 ndani ya mwaka na nusu. Nilianza vizuri japo sikufikia malengo na nnaendelea kufuga mpaka leo lakini...
Back
Top Bottom