Ndio maana mimi nilikuwa nawashangaa saana mazuzu waliokuwa wanamshangilia mwendazake
Sasa hivi uwanja wa ndege alioujenga bila kutumia akili kule Chato umeanza kuonekana kituko
Kwanza mimi naona hawa Viongozi wetu wa dini wengi wao huwa wanafiki, Kwani walishindwa nini kuongoza Dua wenyewe mpaka wampe Masauni kisa ni Kiongozi wa serikali, Huku ni kunajisi IBADA yenyewe,, hawa viongozi wa serikali hii ya ccm wamejaa damu mikononi mwao
Wamefanya sahihi kumsemea mbovu hapohapo, akitoka hapo watampata wapi ??, Ujumbe umemfikia na aliyemteua amesikia, CCM ni wauaji, CCM ni genge la wahuni
Serikali hii ilishashindwa siku nyingi, sisi tunachosubiri ni kuona Anguko lake ambalo haliko mbali sana, na tunaomba Mungu asaidie kuiangusha hii serikali ili tuweze kupata Tumaini jema ambalo lilikuwa limekaliwa na maharamia wa ccm
Sijui una umri gani, lakini dalili zinaonesha hujafikisha hata 35, na ujue tu, the more years goes on ndipo unaonza kuona mambo yananoga, ukifika kwenye 50th ndio utaelewa kwanini you need more years
Unajidanganya sana, Wakinamama ni wanafiki wakubwa, hata kama usipokuwa na familia nyingine yaani ukakaa nao siku zote na ukakamilisha kila kitu kwao bado wanaweza kukutengenezea chuki na watoto,
Na watoto walivyo wajinga huwa wanakubali kulishwa sumu na mama zao na kukuchukia baba yao,
Nasema...
Hapo mimi sijakuelewa kabisa, Unaposema hawamjali na wakati na wewe ni Babu yako ina maana wewe umesimama wapi ?, si ndio kujitenga kwenyewe huko ? ukute na wenzako nao wnakulaumu wewe pembeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.