Wanachama na Wapenzi wa Simba huyo MANGUNGU ni pandikizi la Yanga msipomtoa mtaendelea kufungwa mpaka mkimbie nchi.
Mzee matendo yake yanajieleza wazi kabisa kuwa siyo simba damu. Mangungu kachomekwa awe mwwnyekiti wa Simba ili alinde maslahi ya Yanga. Kuna mchezo mchsfu ulipangwa hadi na...
Aliyekaribu na huyu Sheikh amshuri awahi MUHIMBILI akakutane na Madaktafi Bingwa wa Kinywa na Meno eneo la Upasuaji (MAXILLOFACIAL SURGEONS) wakamfanyie UPASUAJI kumuondoa huo UVIMBE kwenye TEZI KUU LA MATE upande wa shavu lake la kushoto. Ugo jwa huo unaitwa PLEOMORPHIC ADENOMA. Dude hilo...
Kabisa unashindwa kuelewa tofauti ya maji na dawa ya meno kwenye matumizi?
Maji unakunywa na kupikia.
Dawa ya meno haunywi, unatumia kuswakia na kisha unatema povu lote
Bado tu unataka niendelee kuandika?
Tunazungumzia Dawa za Meno wewe unaleta habari za WATER FLUORIDATION. Jifunze kutenganisha mada.
Pia kama Trump akikwambia msagane wewe utaenda kusagana kisa Trump kasema?😁
Unapokwenda dukani kununua dawa ya meno ya kampuni yoyote ile hakikisha ina kiwango cha ubora huo wa madini ya fluoride 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto.
Viwango hivi vya ubora vimepitishwa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) pamoja na Wizara ya Afya Tanzania.
Ukitumia...
Wizara ya Afya imetoa maelekezo ya njia bora ya kutibu jino lililotoboka/kuoza badala ya kukimbilia kuling'oa.
Jambo linalowafanya watu wengi wakimbilie kung'oa jino ni maumivu makali waliyoyapata kutoka kwenye jino lililooza au kutoboka.
Zipo njia mbalimbali zitakazokusaidia kufanya jino lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.