Recent content by COARTEM

  1. COARTEM

    GE2025 Sheikh Iddi Chaurembo: Wawazao kura zetu kuzipoteza, wape upofu kamili

    Aliyekaribu na huyu Sheikh amshuri awahi MUHIMBILI akakutane na Madaktafi Bingwa wa Kinywa na Meno eneo la Upasuaji (MAXILLOFACIAL SURGEONS) wakamfanyie UPASUAJI kumuondoa huo UVIMBE kwenye TEZI KUU LA MATE upande wa shavu lake la kushoto. Ugo jwa huo unaitwa PLEOMORPHIC ADENOMA. Dude hilo...
  2. COARTEM

    Dawa ya meno yenye ubora wa kukinga meno yako kuoza ni yenye madini ya fluoride ya kiwango cha 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto

    Kabisa unashindwa kuelewa tofauti ya maji na dawa ya meno kwenye matumizi? Maji unakunywa na kupikia. Dawa ya meno haunywi, unatumia kuswakia na kisha unatema povu lote Bado tu unataka niendelee kuandika?
  3. COARTEM

    Dawa ya meno yenye ubora wa kukinga meno yako kuoza ni yenye madini ya fluoride ya kiwango cha 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto

    Tunazungumzia Dawa za Meno wewe unaleta habari za WATER FLUORIDATION. Jifunze kutenganisha mada. Pia kama Trump akikwambia msagane wewe utaenda kusagana kisa Trump kasema?😁
  4. COARTEM

    Dawa ya meno yenye ubora wa kukinga meno yako kuoza ni yenye madini ya fluoride ya kiwango cha 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto

    Majimbo yaliyositisha Fluoride KIWANGO CHA WATU KUOZA MENO KIMEANZA KUPANDA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA
  5. COARTEM

    Dawa ya jino bovu siyo Kungoa

    Post hapo juu imeeleza kila kitu...soma na hicho kipeperushi cha WIZARA YA AFYA
  6. COARTEM

    Dawa ya meno yenye ubora wa kukinga meno yako kuoza ni yenye madini ya fluoride ya kiwango cha 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto

    Unapokwenda dukani kununua dawa ya meno ya kampuni yoyote ile hakikisha ina kiwango cha ubora huo wa madini ya fluoride 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto. Viwango hivi vya ubora vimepitishwa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) pamoja na Wizara ya Afya Tanzania. Ukitumia...
  7. COARTEM

    Dawa ya jino bovu siyo Kungoa

    Kadi yako ya NHIF inakuwezesha kupata matibabu hayo yote
  8. COARTEM

    Dawa ya jino bovu siyo Kungoa

    Wizara ya Afya imetoa maelekezo ya njia bora ya kutibu jino lililotoboka/kuoza badala ya kukimbilia kuling'oa. Jambo linalowafanya watu wengi wakimbilie kung'oa jino ni maumivu makali waliyoyapata kutoka kwenye jino lililooza au kutoboka. Zipo njia mbalimbali zitakazokusaidia kufanya jino lako...
  9. COARTEM

    Tujenge njia nne (mbili kila upande) kupunguza ajari za barabarani Tanzania

    Barabara zetu Tanzania ni nyembamba hivyo kuleta kusababisha ajari nyingi sana. Ushauri: Barabara kuu zote zijengwe njia 4 [ mbili upande huu na mbili upande ule ]. Hii itasaidia sana kupunguza Ajari na kundoa foleni zisizo za lazima.
  10. COARTEM

    Wezi wa mizigo kwa kufungua mabuti ya mabasi yakiwa kwenye foleni maeneo ya mkambarani-Morogoro

    Madereva na Makondakta wa mabasi kuweni makini mkikuta foleni ya Magari mida ya usiku maeneo ya MKAMBARANI MOROGORO. Kuna vijana Wezi wanafungua mabuti ya mabasi na kuiba mizigo ya Abiria iliyochini ya buti la basi. Inasemekana buti za Mabasi hazina LOCK. Chukueni Tahadhari
  11. COARTEM

    Ushauri: Makanisa yaanze kulipa kodi TRA

    Wote tu walipe KODI
  12. COARTEM

    Ushauri: Makanisa yaanze kulipa kodi TRA

    Ili kuongeza dhana ya uwajibikaji na uchungu kwa nchi, nashauri Makanisa yote Tanzania yaanze kulipa kodi ya mapato TRA ili kuongeza pato la taifa.
  13. COARTEM

    Shughuli zote za Kiserikali zifanyike Dodoma, Dar Es Salaam iachwe kwa mambo ya Biashara tu

    Binafsi nimuombe Rais Samia S. Hassan aongeze kasi ya kuijenga Dodoma ili shughuli zote za kiserikali including zake mwenyewe zifanyikie Dodoma. Dar es Salaam tuiache ipanuke kibiashara zaidi. Mikutano yote ya kitaifa na kimataifa ya kiserikali ifanyikie Dodoma. Marais wakija Tanzania waende...
Back
Top Bottom