Recent content by cnyorita cnyora

  1. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Medulla katika kasha la kichwa chako... Ni sawa na chumba kinachohitaji mpangilio sahihi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuelewa Sana
  2. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu mwenye uwezo wa kutafsiri ndoto za kiroho/imani aje anitafsirie hii ndoto...

    [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
  3. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

    Naona anatuletea utafiti aliofanya mtaani kwao malapa huko wadada wamezeeka ata kabla ya kuzaa
  4. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

    Kama ulijilegeza wakati wa ujauzito na ulikua mtu wa kulakula ovyo mazoezi haufanyi mtu wa kulala lala tu Basi ata ukijifungua lazima ujione mzigo
  5. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

    Nancy sumari Jacqueline ntuyabaliwe Still wanadunda na urembo wao sasa mwenzetu utafiti wako umeufanyia wapi?
  6. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu mwenye uwezo wa kutafsiri ndoto za kiroho/imani aje anitafsirie hii ndoto...

    Kama ulichokiota hakipo hapo Basi Fanya Utafute kitabu cha ndoto cha Christopher Mwakasege
  8. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu mwenye uwezo wa kutafsiri ndoto za kiroho/imani aje anitafsirie hii ndoto...

    TAFSIRI YA NDOTO UNAZOOTA KILA SIKU ULALAPO 1. Kuota Unakunywa maji machafu(Ni ishara ya kupewa sumu katika ulimwengu wa roho na kuondoa moto wa Roho Mtakatifu) 2. Kuota unakoroma na unalia kwa uchungu(Ni Ishara kuwa adui anapanda mateso juu yako) 3. Kuota unakula vyakula usiku (Ni Ishara...
  9. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Karibu chatroom: Uliza chochote kuhusu makaburini, mochwari na wafu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Marubani wawili wa chuo cha usafiri wa anga wafariki baada ya ndege yao kudondoka uwanja wa ndege wa Karume

    Namfaham vizuri uyu mzee bomani alikua jirani yetu kule kinyerezi nmeumia Sana Alikua mzee mstaarabu Sana na asiye na makuu naiona familia yake ilivoumizwa na msiba huu R. I. P mzee Bomani you will always be remembered [emoji25] [emoji25] [emoji25]
  11. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

    Ayo mengi ni makanisa ya kilokole ya manabii wa kisasa ambapo wadada Wengi wakiwa na ham ya kuolewa hukimbilia huko na kujifanya watakatifu Ingia makanisa yanayojulikama Tangu enzi na enzi na mwanamke anaelipenda na kulijua kanisa na ana hofu ya Mungu utamjua tu kuwa makini
  12. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

    Sehem tofauti tofauti zenye kueleweka Nenda kanisani utawapata baba.
  13. cnyorita cnyora

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

    Acha kuokota okota Tafuta mwanamke anaejielewa eboooh
Back
Top Bottom