Ingekua poa sana kama JamiiForums wangeli ongelea hili katika platform mbali mbali maana vijana walio umia ni wengi sana. Harafu haya mambo yanafanyika na ushahidi wanaacha nje nje kabisa inamaanisha hawamuogopi mtu yoyote. Naikiwezekana zimamoto watueleze ili tuache kua tunaomba kazi zao...
Hii inaumiza sana mtu anachoma nauli ambayo ungefanyia mambo mangine kwendeshea maisha. Huko kwenye usahili kwenyewe mnakalishwa siku nzima mnakosa hata mda wa kwenda kula.
Hili ni swali linalohitaji ufafanuzi: kwa nini vijana waliyoitwa kwenye usaili wa Zimamoto kuanzia tarehe 15 Disemba 2025 hadi tarehe 20 Disemba 2025 hawakupata nafasi ya kwenda kwenye mafunzo, ilhali baadhi ya waliokuwa hawakuitwa kwenye usaili wamepata nafasi hiyo?
Mtu anajituma na kusafiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.