Dah, kama sio uchumi itakuwa ni swala la kisaikolojia maana nilisikia zaman mtu ana sema huko jpn watu wanaona mambo ya kikubwa sana tokea wakiwa wadogo wanakuwa wakiyona pia kuna matoy na vifavingi vya sex
pili kama niuchumi nahisi nikautamaduni kwao kuna namna wana misimamo yao kama viapo na...