Fwatilia mambo ndio uje na hoja mezani, sio kudakia dakia mambo juu.
Am christian , siamini juu ya mtume and blaah blaah kama hizo ila sitofanya kosa la kuhoji kwanini Kila kitu Muslim wanafanya backed from mtume's life style kwasabu sina taarifa za kutosha kuhusu ilo.
So ilikuw busara zaidi...
Kwanza kubali na kuwa tayari kuacha..epuka kukaa mwenyew always tafuta company Kwa wadau, usitumie muda mrefu ukiwa chooni au bafuni hasa bafuni sometimes usivue nguo zote oga na boxer mwishowe fua boxer ukizingatia kutokaa muda mrefu bafuni,
Mwisho na ndo njia pekee ikikushinda na hii Kila la...
Ni upuuzi tu! Hasa Muslim sijui huwa wanajikuta kina nani?!
Mgonjwa wa kisukari anachomwa insulin ambayo totally imetengenezwa na kitimoto.. asa Kwa uhatari wa ugonjwa wa kisukari sidhani kama Kuna sheikh angepona au kupata hata nafuu.
Kisukari hakichagui hakibagui.
Am out
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.