Recent content by Clementine01

  1. C

    Nimeona viumbe vya ajabu wakati napiga picha

    Mtatoana roho kujadili upigwaji wa picha mkaacha mada yenyewe.Mi naona virui rui tu hapo labda ni aina mpya ya samaki wa angani.
  2. C

    Nimeona viumbe vya ajabu wakati napiga picha

    Nimetupilia mbali pingamizi,inaonekana mleta pingamizi ni mchochezi kiwango cha sgr
  3. C

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Naomba ufafanuzi hii unatumiaje na kwa muda gani hasa?
  4. C

    Natafuta mtu anayeweza kuwekeza kwa mtaji wa milioni 50 na kupata faida ya hadi milioni 70

    Nipo hapa kusoma coment tu ndugu yangu,sina hiyo mil 50 wala nini.
  5. C

    Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Kama hujui haya mambo bora ukauliza,hii sio demo ni real,dola mia sio hela nyingi sana usiogope.
  6. C

    Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Ila inawezekana sana kumake laki mbili ukiwa na $10,000 kwenye akaunti daily bila pressure. Ngoja mi nionyeshe hapa akaunti hii ya dola mia nimeiweka kwenye cent akaunti inayoonyesha $10,000 kama inavyoonekana hapo chini. Ntaleta mrejesho baada ya miezi mitatu alafu uwekeze na mimi mkuu.
  7. C

    Jeff Bezos arudi kwenye nafasi yake, Elon Musk Apoteza $14bn kwa siku moja

    Nakuelewa sana ndugu yangu,hayo mambo ni hatari na nusu psychology ndo tatizo hapo plus money management.
  8. C

    Ludewa yakabiliwa na uhaba wa walimu 400

    Kuna kijiji nimeshau jina cha ludewa mwaka jana tu kuna mama alimtokosa mwanae na kumla live live,acha ubishi.
  9. C

    Ludewa yakabiliwa na uhaba wa walimu 400

    Bila shaka we we sio mkazi wala hujawai kukaa Ludewa,nenda pale kijijini wilayani muulizie huyo mzee bado yupo nadhani mcheki hapa
  10. C

    Jeff Bezos arudi kwenye nafasi yake, Elon Musk Apoteza $14bn kwa siku moja

    Utajiri was kina Ontario huu,Leo una dola 30,000 mwezi ujao umepanga chumba cha elfu arobaini buza,kituko.
  11. C

    Ludewa yakabiliwa na uhaba wa walimu 400

    Wenyewe hawakai,wakienda Dar hawarudi.
Back
Top Bottom