Mimi nikiwa mdau Na mmoja wa madereva wa nchi hii.mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 40, ya udereva Barabarani,ninaomba niingie ktk ukurasa huu ili kujaribu kumzungumzia Dereva kwa ujumla wake Na umhimu wake ktk jamii ya Watanzania.Baada yakuona hivi sasa DEREVA HUYU ANAWIDWA KILA KONA ZA BARABARA...
,vipi kwa pamoja eneo LA kinyanambo c njiapanda ya kwenda Madibila,eneo linafaa kwa yardi kubwa ya magari au kuweka petrol station eneo limepimwa Na serekali kabisa
Kwa mawasiliano
0655122563
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.