Recent content by clarewency

  1. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Mwongeze na Eng. Professor Zacharia Mabubu Daniel Mganilwa (Aliyekuwa mkuu wa chuo cha NIT) Kwa jimbo la URAMBO
  2. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Mwongeze na Eng. Professor Zacharia Mabubu Daniel Mganilwa (Aliyekuwa mkuu wa chuo cha NIT) Kwa jimbo la URAMBO
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hakuna mchezaji wa Simba anayeingia kikosi cha kwanza Yanga

    Mafanikio ya Yanga katika michuano ya kimataifa ni yapi sasa, ili kuitofautisha na Simba?!
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Tabora United vs Young Africans inazungumziwa kuliko mechi ya Shirikisho

    https://www.jamiiforums.com/threads/medali-iliyopelekwa-ikulu-na-yanga-sc-inawatia-tumbo-joto-simba-sc.2323935/
  5. C

    JamiiForums Tanzania Hakuna mchezaji wa Simba anayeingia kikosi cha kwanza Yanga

    Hivi zile medali Yanga walimpelekea Rais Samia ni za mashindano gan vile?😳
  6. C

    JamiiForums Tanzania Sitashaangaa FIFA au CAS wakaamua kufanya uchunguzi wa kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga kabla ya kutoa uamuzi

    Sijakuelewa! umesema FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili watoe uamuzi......😳! 1. Kwani kuna taarifa yoyote au barua ambayo wamepelekewa mpk ss? 2. Ni muda gani FIFA au CAS huwachukua mpk kuanza kulifanyia kazi shauri lililopelekwa mezani kwao?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    utakuwa ni mjumbe wa Kamati ya Masaa Saba😁😁😁
  8. C

    JamiiForums Tanzania Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    😃😃😃 umeifanya futari yangu ishuke vzr mkuu
  9. C

    JamiiForums Tanzania Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    Acha hizo basi na ww mkuu, hasira za nn? maana ya Jf ni nn? si kuelimishana na kupashana habari? kuuliza kwangu ni tatizo?
  10. C

    JamiiForums Tanzania Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    😁😁😁😁😁😁 Hatari sana! Sasa si walipeleke tu huko moja kwa moja, haina haja ya kusubiria hayo masaa.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    Naomba kuuliza hiyo mamlaka ya juu zaidi kama hayo hayatatekelezwa ni ipi hiyo?!
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

    kuna shida kubwa sana ukiwa mshabiki maandazi wa hizi timu mkuu, hata kama jambo lipo wazi kabisa lkn halitaeleweka kabisa kw sbb ya ushabiki
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

    Nachofaham mimi, hili jambo linaisha leo leo na panatulia! mechi itapangwa siku nyingine na itachezwa tu.. Rejea ile mwaka 2021 May 8, Yanga waligoma kucheza baada ya mabadiliko ya muda wa mechi na Simba, na wakadai hawatacheza tena.. Lakini ilipotajwa tarehe nyingine walicheza.
Back
Top Bottom