Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma kwa kweli imekuwa haitendei haki hasa kwa wahitimu na vijana wote wasakao ajira,hususani watokao mikoani kwani usaili wote ufanyikia dar i.e usaili wa mchujo,vitendo na usaili wa mahojiano na mara nyingi full usail uchukua mpaka siku tatu au nne...
1.Kassim Majaliwa .
Hakika Waziri Mkuu anastahili pongezi zisizozidi kifani ni kiongozi mstaarabu mwenye weredi na mpambanaji. Amefanya na amesimamia objective na responsibilities zake ipasavyo
2.Rogers Sianga
Huyu ni kamishna wa mamlaka wa kupambana na dawa za kulevya nchini. Amefanya kazi...
Hello members,
Nipo mkoani nina deal ya kuanza kurangua ng'ombe then nipeleke dar kwa aim ya kuwauza. Wenye kujua changamoto zake pls naomba kujuzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.