Recent content by cjona

  1. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nakufuata nachambua zangu tano
  2. cjona

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Hahaha!! Mkuu naona umemuumbua kijana hapo
  3. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man cty na arsenal mnanistaafisha kubeti aisee mbwa kasoro mkia
  4. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu keikiu tudondoshee za leo kama wameshaweka
  5. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duh!! Vitu vinatumwa aisee hadi kichwa kinauma kuchagua. P didy tuko pamoja.
  6. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Woooooon, asante kwa wachambuzi. Bila nyie nisingepata ya suuupu
  7. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Saiz kila timu ikikutana na izi znazoshinda kila mechi zinakazianaga sana, inabid tujitahid kuliona hili nalo
  8. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wengine wakilia wengine wanacheka. Kanji sio wa mchezo mchezo, game ya psg niliiogopa nikaweka 1.5 over. Namsubiria sporting amalize dakk tuu coz anaongoza 5
  9. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nice wa msimu uliopita na huu ni tofauti kabisa. Ukitaka kumpa labda mpe over 1.5.
  10. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kabaki Monaco tuu, nichekelee
  11. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hizi sometime sio za kuaminika. Ni vizuri kuchambua wewe mwenyewe kwa ushirikiano mzuri na wadau humuu
  12. cjona

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ili kuwa safe zaid naweka over 1.5
Back
Top Bottom