Recent content by CJ7

  1. C

    Barabara ya Morogoro imezibwa

    Police wetu sijui hata niseme nini. Waweza sema hawakua na gari na bla bla kibao.
  2. C

    President Kagame still my Hero

    Jamani linapokuja suala la nchi yetu tuwe wazalendo. Tuungane na tuweke tofauti zetu pembeni tuwe wamoja. Naipenda tanzania na nitaitetea kwa gharama yoyote.
  3. C

    TV 1 (Viasat 1) majangaa

    Hapo kwa kipindi cha ushoga na usagaji mmenitisha. Ila itabidi niwe na star times niwacheki. Wataimprove tu
  4. C

    Hodi wana JF.

    Ahsante lusungo
  5. C

    Hodi wana JF.

    Nilikua msomaji mzuri wa hili jukwaa nikaona ili nifaidi nijiunge kabisa. Hongereni sana kwa kazi nzuri.
Back
Top Bottom