Sawa mkuu. Fundi mmoja hapa kitaa kasema issue ni PCB board channel ya umeme imeharibika. Nahitaji data chache muhimu zilizopo, hivyo kununua mpya sio solution ya hili tatizo. Kwa upande wa ndani zaidi kama vile Platter na Kale ka mshale ka kusoma data sidhani kama vina issue. asante sana mkuu
Kuna HDD ya Desktop computer imekataa kusoma a.k.a ipo kama imekufa vile hakuna signal yeyote
Nimefanya troubleshooting za kawaida [badilisha cables, kuweka kwenye computer nyingine, kuweka kwenye external drive adapter, n.k] lakini ime fail.
Baada ya kucheki ndani inaonekana PCB itakuwa na...
Hiyo ni kitu basic sana, acha kuwa mtetezi wa vitu visivyo na tija, othwerwise unafaidika na hili kampuni.
Nimesema nimefika counter bado ten minutes ndiyo ule muda wa check in before 40 minutes uwe umeisha.
So delay ilikuwa pale pale counter katika interval ya wao kusoma documents za watu...
"Non-show" haiwezi kuwa applied hapo mkuu, nilikuwepo airport na muda wa kuondoka ulikuwa bado.
Infact wamekaa ki ubabe ubabe tuu, huwezi endesha ndege kienyeji enyeji vile.
Nilishasoma rules, #7 , 10 na 11 kabla hata sijaanza kusafiri na hiyo ndege yao.
Nimesema nilikuwepo pale airport na wakaniruhusu ku print na kuingia ndani immediately. Within ten minutes tuu ndiyo mtu wa check in akatosa.
Kwa Wataalamu wa sheria,
Tulinunua GO and RETURN ticket ya fastjet, leo tumefika airport wahusika waka zi print ticket zetu, then tukajipanga sehemu ya checkin, within ten minutes muhusika wa sehemu ya kuchek in akasema tumechelewa ku check in, hivyo tununue ticket mpya.
Tuliporudi kwenye...
Option #1 :
Lipia internet toka kwa kampuni lolote lile, then nitakupa kifaa unachoweka kwenye computer mojawapo yenye internet hiyo, halafu computer nyingine zitadaka wi-fi kutoka kifaa hicho.
Option #2 :
Lipia internet(ya cable) toka kampuni lolote lile e.g TTCL then nitakupa wireless router...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.