Bachelor nyengine ya miaka 5 yenye complication za kutosha
Maisha ya kukariri kuwa utatoka kw kutumia udaktari ni shidaah
Naamini hvy kwa sababu najua dhamira yako ni mshara mnono wa MD
Na sio kuisadia jamii
Njia za kutokea ktk maisha ni just fikiri nje ya boksi kam ulishindwa...
Sasa tz kuna viwanda vingapi?
Tena si viwanda vya aina zote inahitaji mtu wa aina hy
Uje hapa tunaamgalia kitu chenye wide application na fursa kubwa za ajira
Kuanzisha kozi kwa chuo ni suala la jengine na upatikanaji wake ni suala lengine
Usisome kitu ili nawe uitwe ina shahada
The same case
Hizo kozi hazimuandawi mtaalamu yeyote ( proffesional)bali ni mwenye knowledge ya chemistry ambayo unaweza itumia viwandani
Kwa nchi kama zetu kozi kama hy haina tija kbs
Bora kozi kama
Bsc.Microbiology
Bsc. In biotechnology
Hawezi kuwa mwalimu
Hii kozi application yake ni narrow sana
Kama umesoma science kwani huombi koz kama
Bsc ed
Bpharm
Bsc comp science
Bsc architecture
Katika what matters is quality of our education not quantity
Education globally is used as a tool of improving nation economy and effective utilization of available resource, je product ya elimu yetu ulioisifia ina reflect hayo? Let us be patriotic to our beloved coutry
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.