Ukawa wagombea wao kama wa3 wapo na wanamvuto ile mbaya kwa upande wa urais,,,ila kwakuwa ccm wana haraka na kutaka kujua ni nani atasimamishwa na ukawa ili wamjui na kaunza kupambana nae na hapo ndo wanajifanya eti ukawa hakuna mtu mwenye mvuto...ukawa wako kimya na wanajua ni nani...