Recent content by City Thunder OKC

  1. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Hiyo diplomasia ya uchumi Tanzania Imewahi kutumika wapi? Naomba unipe mifano
  2. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Unachoandika hivi Ni kama vile wewe na hao viongozi wako akili zenu zimetimia. Wewe na hao viongozi wako hamna akili hata kidogo, hamuwezi kufanya jambo lolote la maana. Investors wite miaka yote wanawapiga kwa kila namna wanayopenda Nakukumbusha tu uone mlivyo hamna akili.mwaka Jana mliwalipa...
  3. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Mlisema mnafungua nchi
  4. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Bibi yenu akalipa mabilioni kwa kampuni ya PR huko marekani ili kusafishwa, mmekwama tena?
  5. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    Labda uamue kuwa mnafki. Lakini wewe ni mfuasi na shabiki wa hii serikali ambayo imefanya na inaendelea kufanya mauaji. Ukiamua kukana na kubisha huo utakua ni unafki. Nimekuambia pia ulichoandika kujibu kwa huyo malaria 2 nacho ni unafki sababu malaria 2 nae ni mfuasi wa hii serikali...
  6. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    Huyo malaria nae hana tofauti na hao makafiri, kwa maana anapinga mauaji anayofanya Netanyahu huko gaza alafu anafurahia maauji ya hapa bongo yanayofanywa na samia Hata wewe pia unapinga yanayofanywa na Netanyahu huko gaza alafu hapa bongo ni shabiki wa yanayofanywa na Samia
  7. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania EWURA hawazalishi chochote ila kazi yao kupanga bei ya mafuta. Ifutwe kama tulivyofuta SSRA

    Imekuuma kukuambia huyo bibi yako akili hana. Huihui2/stuxnet Huyo Bibi hata kusoma vizuri kinachoandikwa hajui
  8. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Gachagua: Samia Suluhu ni Dikteta mbaya sana mwenye damu za watu mikononi mwake. ICC inaendelea kumbana taratibu

    Tutakukataza usiwe unachangia nyuzi hizi sababu ya upeo wako. Kalenjin sio kabila minority, kalenjin ni moja ya kabila kubwa sana Kenya
  9. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania EWURA hawazalishi chochote ila kazi yao kupanga bei ya mafuta. Ifutwe kama tulivyofuta SSRA

    Unataka ewura wafanye nini ikiwa nchi yenyewe inaongozwa na mtu asiye na akili
  10. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta kupanda kuanzia 05. Mei 26 (5,000@litre-Petrol)

    Uongo na uchawa ni ngumu kuvitenganisha? 2008 mafuta yalifika hadi $186 kwa pipa. Mwezi uliopita mafuta yalifika hadi $119 kwa pipa. Hii yako ya $102 kuwa ndio the most high umeitoa wapi?
  11. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta kupanda kuanzia 05. Mei 26 (5,000@litre-Petrol)

    Bado unaishi kwenye dhana ya kwamba wanaoathirika na bei ya mafuta ni wenye magari? Hujui huduma zote pia huathirika?
  12. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Kwenye hiyo list uliyoweka hapo mbona siwaoni waajemi hapo?
  13. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Waislam tunatakiwa tuiombee dua sana Iran kipindi hichi

    hamis77 hiki alichoandika ni kweli?
  14. City Thunder OKC

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii inasaidia nini mkuu?
Back
Top Bottom