Yeye naye ni Mjinga na akili yake ni takataka ambayo haitamaliza hata dakika 10 kizimbani! Such a foolish fellow! Upeo wake umeishia hapo kwenye aliyoyasoma darasani? Hajui maabara, hajui chemical analysis, hajui kuwa hakuna kauli mbili kwenye Sayansi asilia, hajui microeconomics game theory...
Tumuulize Tundu Antipas Lissu.... Sayansi asilia anaijua?Test tube na furnace anazijua? Sampling anajua? Chemistry anajua? Chemical analysis anajua? Hizo Sheria alizokariri falsafa yake anajua? Kujitoa kwa Trump kwenye Paris Accord kutachukua muda gani? Sisi tungefuata mkakati wake wa kuanza kwa...
Sema wewe!Tukisema sisi wataalam wa Sayansi na game theory of microeconomics and strategies tutaambiwa we're rubbish! Stupid Lissu! Kusoma Sheria na Sheria sio majibu ya kila tatizo la nchi hii!
Mapovuuuu....Sheria ni nini hasa? Doctrine ya Sheria ni nini? Kwa nini Lissu ana dharaudharau kwa watu wenye ujuzi alioukimbia au kuushindwa mwenyewe?HAJUI LAB PROCEDURES AKAE KIMYA. Mtadhani hili suala linahitaji WAZOEFU tu lakini ni UONGO! Wazoefu peke yao watatupeleka gizani... Wamezoea...
Hawawezi kufanya uhuni this time... Watakachoangalia ni wananchi... Je,wananchi wanaunga mkono? Wananchi ndo kila kitu.... Maoni yao ya wazi na ya sirini ndiyo hutumika na hao wahuni wanaojiita viranja wa dunia kuingilia mambo yasiyowahusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.