Recent content by cicy

  1. C

    JamiiForums Tanzania Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Duniani kuna mambo sijui kama hawa ni binadamu
  2. C

    JamiiForums Tanzania Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

    Ok
  3. C

    JamiiForums Tanzania Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

    Hawezi labda kama Mungu mbinguni hayupo mumeua sana vijana CCM ni kikundi cha wahuni sio chama tena
  4. C

    JamiiForums Tanzania Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

    Samia hawezi kuongoza Tanzania hatamaliza acheni kuendelea kuua watu hivi viburi viwaishe yale maandamano liwe somo kwenu mkindeleza kiburi Mungu atawangamiza zaidi hamna hati miliki ya kutawala Tanzania yule alietabiri kuwa kutakuwa na civil unrest na maandamano ametabiri tena kuwa samia...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

    Vipi maandamano yameisha kwa Sasà hapo Dar
  6. C

    JamiiForums Tanzania Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Mungu wa mbinguni ameshaleta nyinyinyi samia hawezi tena kuongoza Tanzania yupo mwanaume anakuja samia ataishia ICC. Hawezi halaiki ya watu Mungu akuache tu
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na Maria Sarungi wapelekwe ICC

    Yani Mungu akupe kuelewa nimeona manabii 2 wamesema samia hata kalia hicho kiti ataishia ICC kwa hiyo mwambie ajiandae
  8. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tulia: Reforms zilishaafanyika Bungeni kuwezesha uchaguzi kuwa Huru na Haki

    Huyu wanamtafuta kufa na kupona mbeya nahisi hata kakimbia mabomu yameishia police mbeya wanatumia risasi tu na risasi zikiisha basi mbeya wanaichukua
  9. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia Kuitetemesha Mwanza Mjini Leo. Hotuba yake kuisimamisha Nchi

    Mimi sio MTU was comment humu. ila nakuomba ufikishe ujumbe nampenda samia leo nimeota mkimuua polepole hiyi kazi mnayofanya huko mwanza ni kazi bure hataweza tawala Tanzania damu ya polepole italeta uasi kwenye nchi ambao hamtaamini
  10. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msimuue Polepole kwa namna yoyote maana damu yake italitesa Taifa na mtaongeza uasi (ushauri)

    Mkuu nimeota the same thing asubuhi ya leo. Hi damu ya polepole italeta balaa na uasi zaidi haitaenda bure
  11. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Kwa wale wasiojua, baba yangu alikuwa mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu!

    Kumbe nilichosikia ni kweli kuna mtu aliniambia sikuamini akaniambia nenda Wikipedia kaangalia kama kuna jina la baba yake kama maraisi wengine waliopita sikupata akasema basi amini
  12. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

    Niliota lisu na majaliwa wanagombea uraisi kukawa na vurugu kubwa hawa watanzania wanaoitwa makondoo walikuwa barabarani
  13. C

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

    Mzee malecela ana watoto wangapi
  14. C

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Madatabase pamoja na system tupo

    Naomba kujua kama unajua gates mfano paypal inayotumika na charity organisations Tanzania kwa ajili ya donation online kwa kutumia credit card.paypal Tanzania inasema ni sender only na sio receiver
  15. C

    JamiiForums Tanzania Lissu atakuwa mkubwa zaidi akitoka hospitali

    Lisu atakuja kuwa Raisi wa Tanzania
Back
Top Bottom