HESHIMA KWA WOTE.
Kuna tablet ya microsoft inatafuta mnunuzi....
Ipo katika ubora wa hali ya juu ingali ishatumika kidogo.
Ina Internal ya 10 gb,
Screen size: 7 inches
HAI INGIZI LINE,
Unaweza tumia kama computer kabisa (computer interface)
Processor: 2GH
OS: Windows 8.1
Memory card port: yes...
Salam zenu
Ebhana nime download na ku install (media player codec for mkv) nikiwa na niya ya kuweza ku play videos zenye extension ya mkv lakin xaxa naona mambo yamezd ku vurugika. yaan ata zile videos zilizokua zinaonesha vzur japo kua sio mkv, xaxa nazo zna kwama kwama.
ombi langu ni...
SWALAMA WADAU!
Nina play station 2 ambayo inanisumbua sana maswala ya lense. inaharibika mara kwa mara na fundi anaenitengenezea naona haeleweki.
Naomba nijuzwe kama kuna mtu anaemujua fundi mzuri. Na pia bei ku chip ili iweze kutumia flash(ma game ya kwenye flash)
habari zenu wadau?'
je kuna yoyote anaejua "code" ambazo zinamsaidia mtu kujua kama simu ni original?
Mfano, Nokia {*#0000#}
Naomba msaada kwa zile simu nyingine, kwa anaejua...
Salama wakuu,
Black berry 9900, Bado ina hali nzuri kwa 200,000tshs
Ni touch screen
SPECS;
touch screen
double camera
internal memory 8gb, extended memory upto 32gb
Kwa mwenye shida, tuongee au ni text kwa 0762193767.
Nipo dar es salaam.
Kwa maelezo zaidi, angalia iyo link chini...
Salama wakuu,
Nina Rav 4 yangu, ya mwaka 1999 na ipo katika hali nzuri. Haina tatizo lolote
Bei 10,000,000 shilingi.
Kama unaitaji, unapenda tuongee biashara, 0762193767. Piga au tuma meseji.
Nyote mnakaribishwa.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.