Recent content by chuwaalbert

  1. C

    Uchaguzi 2020 : CCM kumpiga chini Magufuli

    Hivi LIKIZO ya "Mtumishi" wa Serikali ni siku NGAPI kwa Mwaka?
  2. C

    Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

    Naona hapa alikuwa ANAMJIBU Mzee wa Mwandiga, aleunguruma BBC hivi karibuni..
  3. C

    Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

    Ningependa Raisi (wa sasa) naye aandike kitabu cha maisha yake
  4. C

    Kama sababu ni hii basi ‘’Kolomije boy’’ hawezi kutumbuliwa!

    Marope..umoja wake Mrope. Nchezaji wa zamani wa Majimaji FC ....
  5. C

    Hii hapa Siri ya ulinzi mkali wa Rais Magufuli

    Mfuko wa Maendeleo ya Kijiji..
  6. C

    Nani waliokua nyuma ya kadhia aliopata mzee huyu 2005 ikapelekea kuukosa urais wa JMT

    ..alikuwepo pia Muhingo Rweyemamu (RIP) na Hassan Diria (RIP)...
  7. C

    Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

    Baadhi ya Wabunge wa Mwanzo baada ya Uhuru (miaka ya 1960 na 1970): Mwakitwange, Jeremia Bakampeja, Edwin Allan Gakobe Nyamubi, Paul Bomani, Madoshi Fung'ho, Rashid Kawawa, Frederick Nteminyanda Fumbuka, Said Ngw’anangw’alu, Leons Ngalai Silayo, Eliufoo, Said Maswanya, Chief Adam Sapi Mkwawa...
  8. C

    Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

    Stephen Nandonde (Tandahimba), Luka Kitandula (Mkinga), Piniel Ole Saitabau (Arumeru), Jared Ghachocha (Ngara), Prof. Joseph Mbwiliza (Kibondo), Sebastin Kinyondo (Bukoba), Prof Nicas Mahinda (Morogoro Kusini), Dr. Ngunangwa (Njombe Kusini), Jackson Makweta (Njombe Kaskazini), Jenerali Twaha...
  9. C

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Pointi ya MUHIMU ilofuatwa ni UANACHAMA wa CCM! Kutengeneza WALIMU WATIIFU kwa Sirkali..
  10. C

    Je, Tundu Lissu anaichafua nchi yetu au anasema ukweli wa kilichomtokea? Je, Serikali yetu iwe Proactive kusema ukweli au Reactive kumjibu?

    Mkuu P Salaam. Ukisemacho ni SAHIHI kabisa! UKWELI huu (uusemao na kuandika) UNAWAKERA wengi. Wengine walikuita kwenye Kamati (kilichojiri hawajatweleza). Wewe ni MKALI tangu enzi za KITI MOTO....Walikuwa wanakukimbia....Uandikapo Makala Gazetini, wanakereka pia! Sasa tifanye nini? Miye...
Back
Top Bottom