Recent content by chupaki chupaki

  1. C

    UTT Microfinance

    chalii hii ni nchi yetu sote,tumsaidie mh Rais atusaidie.Ungewaona wazee hawa waliojaza malalamiko haya,usingesema hayo unayoyasema.Watu tumeibiwa hela zetu,wengine walisafiri kutoka usa river,babati mpaka manyara waliweka hela afu uansema kiki.Watanzania Mungu awasaidie.
  2. C

    UTT Microfinance

    Mh.Rais kwa heshima kubwa nakupa pongezi kwa namna unavyoliongoza taifa letu.Mimi ni mkopaji tangu mwaka 2014 katika kampuni hii changa ya umma iliyoaanzishwa mwaka 2013 nasikia ipo chini yawizara ya fedha. Ninawakilisha wana kikundi 256 tuliopo hapa Ngarenaro Arusha na wenzetu wapo 104 Mbagala...
  3. C

    Mbeya long time kitambo

    aaah..namkumbuka sana jamaa huyu aisee....alitisha saana kimpira sijui alipotelea wapi huyu
  4. C

    TADB: Niliwaonya sasa nawaonya tena

    KUNA KITAASISI KINGINE KINAITWA UTT MICROFINANCE NASKIA MAKAO YAKE NI DAR ...NACHO NI JIPU,KINAGAWA TUU HELA MTAANI KWA WATU WA AJABU AJABU HADI WAUZA BANGI NA WAKUU WAKE KADHAA WAMEPIGA SANA DILI KUPITIA VIKAMPUNI VYA MITAANI NA VISACKOSI.WAMEANZA KUFUKUZANA NASIKIA .KUNA OMBWE KUBWA LA...
  5. C

    Mbeya long time kitambo

    nmelishuhudia chama hili,ata Marehemu kifwamba nimebahatika kumuona.Enzi hizo wanacheza na locus
  6. C

    Mbeya long time kitambo

    Uwanja ngoma,nmekamua chama langu Mwanjelwa...tulikuwa na kina Faham,Weston,Maneno,Alex,Oscar kipa,Majaliwa kipa miaka ya 1999-2003
  7. C

    Mbeya long time kitambo

    Namba 18.Nlikuwa nawafahamu hawa jamaa wote.Shaban kasoma primary Sinde...Dunda kwao ilikuwa Isanga na kwendi alikuwa Kwa mnyonge near hotel ya mfikemo....Nlinusurika at one point na kwendi(marehemu)
Back
Top Bottom