Chuo cha Maji kinatangaza nafasi za Kozi za Muda Mfupi (Short Courses) mbalimbali zinazotolewa hapa Chuoni kwa mwaka wa Masomo 2017/2018. Kila course ina gharama yake na ina muda wake wa kusoma. Tafadhali pakua document yenye Majina ya Courses, muda wa kusoma na gharama zake.
Form ya kujiunga...
Hapana. Kwa sasa tuna program ya kutoa mkopo kwa wanafunzi wa certificate na diploma. Program ipo chini ya The Registrered Water Trustee Technician Fund.
Habari wana Jukwaa.
Chuo cha Maji kinatoa huduma zifuataza katika sector ya maji na mazingira:
· Utafiti wa maji ya ardhini (groundwater exploration).
· Usimamizi na uchimbaji wa visima virefu vya maji (deep borehole drilling) kwa kushirikiana na Drilling and Dams Construction...
Kwa maksi ulizonitajia, hawezi kusoma Bachelor Degree ila ataweza kusoma Diploma kwa kutumia matokeo yake ya kidato cha nne.
Kwa kidato cha nne awe na D tatu katika masomo ya Science (Physics, Chemistry, Biology, Geography, na Mathematics).
NB: Asiwe na E au F ya Mathematics kwa course zote.
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa...
Ume apply ngazi gani? Angalia katika hiyo PDF kuna namba za simu za Admission Officers. Unaweza kuwaulizia jumatatu. Ila next week itatoka Batch nyingine ya 3 kwa Diploma.
Bachelor Degree hadi tupeleke TCU wakafanye uhakiki.
Umeshafanya Application? Kama bado tembelea website ya Chuo, download form, jaza afu ilete Chuoni.
Au Ingia Website ya Chuo, kisha Online Application, kisha Start Application, ndio uendelee na taratibu za Application.
Gharama za Application ni 10,000Tsh.
Pole kwa usumbufu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.