Recent content by chungutamu

  1. C

    USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

    mkuu hapo kwenye kumkosa sio kwa kumuua ila kwa kumharibia kwa bf wa kwanza eti anaona wivu coz na yy bado anampenda sana
  2. C

    USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

    bidada kamshaur ivo ila yy amekataa analazimisha abadili kabsa et watoto watakua ktk mising ipi ilihali wazaz wanamitazamo tofaut
  3. C

    USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

    asante sana mkuu, na nikwel huyo wa mwanzo ameonyesha kumpenda sana na si yy tu had familia yake maana mama wa bf wa kwanza bado anampigia sim mpaka leo na kumsihi amsamehe mwanae
  4. C

    USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

    thanks, but kuhusu hiyo kaur ya mwisho amemaanisha kua atamtaarifu yule wa mwanzo kua yy ndie alie sababisha waachane ili na yule asimpende tena kisa amekataa kua muislam
  5. C

    USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

    Habari wana Jf? Wapendwa, nina rafiki yangu anahitaji ushauri la kufanya na maamuzi ya kuchukua. Yeye ni binti na alikuwa na boyfriend wake ambae walidumu nae takriban miaka mitatu. Wakati wapo katika hayo mahusiano huyu mtu wake alikuwa na tabia ya kum cheat mwenzie na akim baini anombwa...
  6. C

    mimi mpya jaman!!!!!

    Ahsanate sana
  7. C

    utajibu nini

    laive hapo lazima uchezee kichapo
  8. C

    mimi mpya jaman!!!!!

    leo nmeamua kujiunga na jamii forum mana nlikua nakosa mambo mengi humu kabla cjaregister, naomben ushirikiano wenu.
Back
Top Bottom