Habari ya wakati huu wanajamvi
Naomba kujua chanzo cha kupata mvi kwa kijana (25-30 years) na pia jinsi gani ya kuondokana na tatizo hili
Naomba kuwasilisha
Habari ya jumapili wapendwa katika bwana...!
Nimehitimu shahada ya masomo ya Geography na History (DUCE) mwaka huu. Natafuta nafasi ya kazi shule yoyote binafsi/private, Tuition centers au hata makampuni binafsi.
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ule Tanzania, ila kama kazi itapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.