Kwanza nikupongeze kwa uamuzi wako wa kutaka kujiendeleza kielimu. Mimi naomba uondoe wasi wasi kuhusiana na taaluma insyotolewa OUT, mimi ninawafahamu watu kadhaa waliodoma na kugraduate masters zao hapo na wameajiliwa na taasisi mbali mbali na hata za serlikali na wanafanya kazi vizuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.