Umeandika mantiki Tupu. Ila watu wa jinga Wenye njaa watabaki kusifia tu..........waangalie wanaojiita maprofesa wa siasa wanavyoshinda wanatumika TBC..........kweli hawajuhi Kuwa kupiga marufuku mikutano ya siasa ni ukiukwaji wa katiba? Kama hawajuhi basi elimu Tanzania imekufa.......Hawa ni...
Kanisa katoliki linaelekea kupoteza hadhi yake.............
Ukiona mpaka viongozi wa juu ni wanufaika wa kashfa kubwa za kifisadi unategemea nini?
Mimi binafsi Kanisa limenikwaza ........Mimi ni mkatoliki.
Siku zote majuto ni mjukuu.......Wanaokumbuka maandishi yangu kwenye magazeti mbalimbali watakumbuka Kuwa niliionya CHADEMA Kuwa Chama ni ITIKADI.........umaarufu wa mtu hauwezi Kuwa mbadala wa itikadi.....ukishaweka pembeni misingi ya itikadi yako lazima utakosa agenda. Na hiki ndicho...
Mimi Huwa napenda kuwakumbusha wana siasa Mara kwa Mara Kwamba waweke akiba ya maneno....
Pia waache kufanya kazi kwa sifa.....Majuto Huwa ni makubwa baadae.........Wakati Nasari anamnanga nyarandu aliwaza Kuwa hiko siku atakuwa naye Katika chama chake?.....Je Wakati wabunge wanachakachua...
Tatizo la watu Wengi ni kuongoza na Maslahi kuliko kuamini anachokiamini.
Hili liwe funzo kwa watu Wengine.
Nani alijua Kama Lowassa au sumaye wangekuwa upande mwingine?Nani angejua Kama kitilla mkumbo angefuata mkumbo?
Wote waliohusika na kuchakachua mapendekezo ya katiba ili waweze...
Kwani CHADEMA wasipokidhi matarjio yako Kama mpinzani vyama vingine hakuna.?si muda wote ulikuwa unaipinga CCM ? Mbona umerudi huko? Vijana acheni kutumika...njaa yenu inawanyima heshima ambayo mungeipata Kama warithi wa siasa za Kesho
Hawa wasanii wanasumbuliwa na njaa.. akilini watu Kama kundi wakapendezwa na sera siku moja. Hata hivyo wana ushawishi kiasi gani? Kweli tuwapuuze na hivyo vichekesho vyao ambavyo havituongezei chochote.....
Mawazo mazuri sana. Nashauri pia lianzishwe dawati la kufuatilia maoni ya kwenye mtandao...Chama kipo kwa vijana hawa
wanaojitolea muda wao kushauri haya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.