Mshumaa uendao kuzima na kupelekea giza nene kwenye nchi yetu ya Tanzania,ni nani wa kuwasha mshumaa huu? Na je ni nani wa kuleta nuru mpya kwenye nchi? Na nini kifanyike kufanya mshumaa huu kung'ara tena na kuleta mwangaza tena kwenye nchi yetu.
Uzalendo unaenda kupotea kwenye nchi yetu sawa...
Siku zote wahenga husema kamba ya mbali haiwezi kufunga mzigo na fimbo ya mbali haiwezI kuua nyoka, Vijana wengi hasa wa wakulima na vijana wa maskini hupata shida sana katika utafutaji wa ajira. Utakuta wazazi wamepambana kumsomesha kijana wao kwa kuuza mazao shambani na wengine hata kuuza...
Nalia juu ya kizazi changu,nalilia kizazi changu,Nalilia kizazi cha taifa langu,hakuna mzazi afurahiaye kuharibika kwa binti au kijana wake wa kiume.Ulimwengu unapoenda hakuna ajuaye,Watoto wengi na vijana wengi wamekuwa wakiendeshwa na ulimwengu wa sasa.
Nani apendaye kumuona kijana wake wa...
Ila Bado tatizo linaendelea licha ya makatazo yote hivyo inahitajika utatuzi wa jambo hili Kwa namna nyingine zaidi kama utekelezaji wa sera bora za afya .
Yaani ingefaa zaidi liangaliwe hili swala ,maana hali za watanzania hazifanani kabisa,maana kuna wengine wanashindwa hata kupata milo mitatu Kwa siku Kwahiyo wakikumbana na tatizo hilo wanashindwa kumudu gharama hizo za matibabu mfano mwanafunzi lightness shirima anayesoma chuo cha serikali za...
Usonji ni tatizo la kinafsi na la kihisia linalowatokea watu wengi tangu utotoni na kuathiri uwezo wao wa kuwasiliana na watu wengine .kifupi watu wenye usonji hawana uwezo mnzuri katika swala zima la mawasiliano.
Usonji ni tatizo linalojitokeza mapema utotoni ambapo mtoto huwa na upungufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.