Recent content by christian Ben

  1. christian Ben

    Rais Magufuli ingilia hii suala la mikopo ili wanafunzi wasirudi nyumbani

    unawezaje kuwa na na mwana funzi wa chuo then ukanambia eti hatoshelezi vigezo vya kupata mkopo
  2. christian Ben

    Rais Magufuli ingilia hii suala la mikopo ili wanafunzi wasirudi nyumbani

    Ndugu yangu. hongera kwa uandishi wako mzuri. Shida ni Sera na fikra za viongozi wetu katika utendaji wa majukumu.hakika hatuna viongozi Bali tuna washika dora
  3. christian Ben

    Kwako mzalendo wa kweli karibu tujadili

    Ndugu zangu kwanza nianze kwa kumshukuru mungu kwa kunipa afya. Lakini hasa kwa kunipa uwezo wa kufikiri juu ya Taifa langu.naleta hoja yangu kwenye jukwaa hili ili tuweze kufikiri pamoja. Nitaanza kwa kuuliza NINI MAANA YA VIPAUMBELE KWENYE UTOAJI WA MIKOPO? JE MIKOPO NI ZAWADI KWA MAKUNDI...
  4. christian Ben

    Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

    pole sana lakini unapaswa kuwa na majibu ya shida yako mwenyewe kabla ya kuface umma
  5. christian Ben

    HESLB na TCU wanafanya kazi kwa kushirikiana?

    nchi inayoshindwa kuboresha elimu ni nchi masikini zaidi duniani.UBORA wa elimu uko wapi
  6. christian Ben

    HESLB na TCU wanafanya kazi kwa kushirikiana?

    fikra za viongozi wengi no FIKRA MGANDO watu tulip wapa dora ni watu wasio na upeo wa utatuzi wa kero za watu bali ni wa majigambo na watu wanaojaribu kuuaminisha umma kua ni bora kumbe sivyo.bado nchi inahitaji Uhuru wa mawazo
  7. christian Ben

    Naomba msaada kuhusu bachelor ya economics

    Ninaenda UDOM BA in economics and statistics nusaidieni hii coz iko poa and... niexpect carriers zipi
  8. christian Ben

    NAOMBA MSAADA

    Ninaenda kusoma BA in Economics and statistics je hii coz ina soko kweli and which carriers niexpect
  9. christian Ben

    Kutochaguliwa chuo kikuu mwaka huu

    kutakua kuna makosa ya kiutendaji
Back
Top Bottom