HESLB na TCU wanafanya kazi kwa kushirikiana?

nyigo Jn.

JF-Expert Member
Sep 21, 2015
269
94
Nielewavyo mimi hizi ni taasisi mbili zinazofanya kazi kwa kutegemeana sasa napata wasiwasi juu ya utendaji wa hizi taasisi hivi hawa TCU zile course za arts hususani BaEd and Beds kuwekewa priority course then leo tuje kuambiwa ni non priority course hii kitu tuiite ni usanii au utapeli maana wadogo zetu ni kama vile wametapeliwa!

Haiwezekani muwambie course za ualimu ni priority then leo mje kukanusha na kuleta vigezo ambavyo awali havikuwepo huu ni usanii na utapeli mmewafanyia wadogo zetu

Niwesikia HESLB kesho dirisha la rufaa litafunguliwa tafsiri yake hakuna second wala third batch.

Via tunaisoma namba
 
fikra za viongozi wengi no FIKRA MGANDO watu tulip wapa dora ni watu wasio na upeo wa utatuzi wa kero za watu bali ni wa majigambo na watu wanaojaribu kuuaminisha umma kua ni bora kumbe sivyo.bado nchi inahitaji Uhuru wa mawazo
 
mtoa mada haupo sahihi..hzo kozi labda kwa mwaka wa jana ndo prio hata mm nimechukua hzo na iliandikwa non prio but kwa baadhi ya vyuo wameandika prio hapo ndo nilikuwa najiuliza kuwa pesa inatoka mifukon mwa vyuo au vp?
 
mtoa mada haupo sahihi..hzo kozi labda kwa mwaka wa jana ndo prio hata mm nimechukua hzo na iliandikwa non prio but kwa baadhi ya vyuo wameandika prio hapo ndo nilikuwa najiuliza kuwa pesa inatoka mifukon mwa vyuo au vp?
Labda kwa art lakn sayans n priority
 
mtoa mada haupo sahihi..hzo kozi labda kwa mwaka wa jana ndo prio hata mm nimechukua hzo na iliandikwa non prio but kwa baadhi ya vyuo wameandika prio hapo ndo nilikuwa najiuliza kuwa pesa inatoka mifukon mwa vyuo au vp?
nazunguzia vyuo vilivyopewa priority mkuu
 
kama sio kipaumbele bas tufute masoma ya civics,history,kiswahili,english,commarce na bookkeeping,watu wasome hesabu,fizikia,kemia na bailojia,ili kupunguza haya majanga
 
nielewavyo mm hizi ni taasisi mbili zinazofanya kazi kwa kutegemeana sasa napata wasiwasi juu ya utendaji wa hizi taasisi hivi hawa tcu zile course za arts hususani BaEd and Beds kuwekewa priority course then leo tuje kuambiwa ni non priority course hii kitu tuiite ni usanii au utapeli maada wadogo zetu ni kama vile wametapeliwa!

Haiwezekani muwambie course za ualimu ni priority then leo mje kukanusha na kuleta vigezo ambavyo awali havikuwepo huu ni usanii na utapeli mmewafanyia wadogo zetu

Niwesikia heslb kesho dirisha la rufaa litafunguliwa tafsir yake hakuna second wala third bartch
via
tunaisoma namba


Msaada wa bure tafuta Guide Book 2016/2017 ndo utaelewa, mwaka huu kozi zote za Art zilikuwa non-priority sas nakushangaa mkuu
 
Back
Top Bottom