Note 3 yenye 3gb ram na quad core ya 2 point kitu ghz ina stack. Hakuna os ambayo haina bugs . ila android ina bugs nyingi kutoka free access yakutengeneza app. Ndio maana ina upgrades nyingi saivi kuna 4.4android version kitkat . My recommendation tumia win phone like lumia,and some of htc, eg...
Kalikenye, wewe ni mwananchi wa TZ?
Na unaipenda nchi yako kweli ?
If so y una convince watu wakione chama pinzani hakina maana wakati hakiko madarakani?
Hiyo sio democracy .
Let the people choose!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.