ULAYA: Klabu za Soka za Sevilla ya Uhispania na AS Roma ya Italia jana usiku zimefuzu kucheza hatua ya robo fainali katika michuano ya Klabu Bigwa barani humo
Sevilla wamefuzu baada ya kuitandika Manchester Utd goli 2-1 katika mechi ya marudiano kwenye uwanja wa Old Traford baada kutoka sare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.