unajua hata me binafs nashindwa namna ya kuhesabu ndo maana nikaileta humu. lkn kwenye chet inaonyesha n gpa ya 1.4 . na vip sasa kwa ufaulu huo wa masomo hawez kwenda advance?
gpa ni mfumo wa utoji wa matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2014 ambao ulihusisha class zifuatazo: dinstiction =dvsion one. merit=dvision two. credit=divisio three na pass=division four. sasa kwa hayo matokeo tukisema ana gpa ya 1.4 =na ufaulu wa daraja la nne yaan pass kama nilivokwisha eleza...
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka 2014 na kupata gpa ya 1.4 na ufaulu katika masomo saba aliyofanya ni huu.
Kisw B eng B geo B cvcs D bios E histor E math F na yeye ndoto zake ni kuwa mwalimu na kwa sasa kwenda ualimu ni kuanzia gpa ya 1.6 au division 3.
Tusaidieni jamani kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.