Recent content by chrisduwex

  1. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Hahahaaa mababu na ma bibi zetu walikua wanaua pale mtoto anapozaliwa aribino au kilema na ndio maana zamani agharabu kusikia arubino kafa tulikua tunambiwa huwa wanapaa.mwafrica ujinga ulianza tangu zamani.fikiria kwa kina km mwafrica akiachwa mwenyewe bila kuongozwa sijui.jitu linazaa watoto...
  2. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Hakuna anae mbishia tunachosema tumesha chelewa wewe utampinga mzungu utaanzia wapi.mkeo akit@ka kujifungua shart apigwe sindano ya maji ya uchungu.sijui chanjo.kwa ujumla dunia ni ya tehama wewe mwafrica n@ mwarabu ni kuku tu hapa duniani Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Mzungu akuuza watumwa bali alinunua watumwa toka kwa waarabu.na mzungu akutuvunja korodani km angefanya hivyo leo hii usingewasikia hakina tyson,R.kerry.michael jackson ext.waliotuvunja korodani unawajua na misaada yao mikubwa ni kutuletea tende na harua. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Kwa ujumla tutake tusitake jamaa wapo juu sana.ni kwa neema ya sir god tu tunapata kuishi lakini si kwa kaujanja ka polini uwakwepe hawa jamaa.washa tutawala kiakili na kiuchumi. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Hivi huyo jamaa anajua nchi ya isirael ina watu wasiozidi hata milioni 15 na tanzania tupo km sikosei zaidi ya milioni 50 je tunawazidi nini isirael kimaendeleo hata kielimu.ahache ujinga.utawakwepa vipi na wakati unakunywa coca,peps na kumeza panadol kila kukicha je kemikali za bidhaa hizo...
  6. C

    Nimeletewa taarifa na Wanangu kuwa Shuleni kwao watafanyiwa chanjo ya kichocho na Minyoo. Nimekataa wasipewe chanjo

    Sasa hata mkiwa wengi halafu hamna akili vipi hamtatawalika[emoji3] [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

    Kiongozi wetu akurupuki kwa kufuata miemko ya watu kwanza anayajua hayo makontena tatizo lake kuriko hata nyie.najua wengi ni waumini wa yule jamaa mchungaji kwa hili la makontena mkaona hapa pa kupoza hasira zenu.raisi aongozwi na Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

    Kwani kuna ubaya gani makonda kumiliki hotel.alie mwajiri yupo na anavyombo vys kufuatilia sisi yanatuhusu nini.mbona yeye gwajima anaukwasi wa kufa mtu kwa kuwabana watu masikini watoao sadaka kanisani kwake.sisi mbona hatusemi? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Mwanza: Jicho la kintelijensia, inawezekana Mtawa Suzan Bathlomeo alirushwa Ghorofani Bugando kufuta ushahidi

    Shetani amepewa uwezo wa kumjaribu kila mtu mbk watumishi wa mungu.kwani ujasikia mtumishi wa mungu mzinzi au sherkh kabaka.acha police ifanye kazi ukweli ujulikane. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Mwanza: Jicho la kintelijensia, inawezekana Mtawa Suzan Bathlomeo alirushwa Ghorofani Bugando kufuta ushahidi

    Mijitu mingine bwana jitu linawaza siasa tu kila wakati.sasa huyo mtu umwitae jiwe unataka ahache tu hili baba zako na wajomba wako wajichotee tu mihela ya nchi hii km walivyokua wakimpiga mkwere au vipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Ndugu zangu Waislamu hongereni kwa maadili mema ila hili sijalielewa

    Mie nampa pole huyo jamaa mwenye mwanafunzi hapo.kwani shule nyingine hakuziona.hivi kuna shule ya isilamic secondary ipo vizuri kielimu kiasi cha kutiliwa mfano?? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. C

    Shangwe alizopewa Rais mstaafu Kikwete mjini Harare zinatupa ujumbe gani ?

    Ushauli mzuli huo ambao hata mbowe na lisu hawataweza kumpa.ahache undezi hivi SADCC hawana akili kumpa heshima hio jpm hila yy ndio yupo blight Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Shangwe alizopewa Rais mstaafu Kikwete mjini Harare zinatupa ujumbe gani ?

    Hayo ni mawazo yako ya kijinga usitake watu wote humu jf tukubaliane na wewe.hivi tanzania haina demokrasi ukifananisha na rwanda ya kagame.museven n@ hata huko zimbabwe huvi hizo nchi zina uhuru wa kuongea ukifananisha na tanzania hadi povu likutoke??? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Shangwe alizopewa Rais mstaafu Kikwete mjini Harare zinatupa ujumbe gani ?

    Labda,ukawa ichukue inchi ya mwasisi chadema Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom