Mkuu sina utaalamu sana na mambo ya sheria lkn ninachokijua ni kwamba ni kosa kisheria kutoa ushahidi wa uwongo mahakamani hasa ikithibitika kuwa umesema using pia kumbuka pale mahakamani kuna msaafu na biblia ikiwa kama unaimani basi nafsi itakusuta
Usimalize maneno mkuu weka akiba kuna kesho...kwanza huku nilipo mimi umeme ulirudi toka jana alasiri ukaja kukatika usiku wa saa moja na ukarudi baadae umekuja kukatika tena asubuhi hii mpk sasa hivi haujarudi weka akiba ya (maneno)
Mkuu nadhani muuliza swali sio mpuuzi anahoja na anahitaji kujibiwa na sio kumkashifu.
Kwa aina hii ya ya majibu hapa ndipo waislamu mnapo dharaulika elimu akhera imewatawala kuliko elimu Duncan.
Pole mkuu!unatakiwa uwache kazi ufanye kazi kwenye swala la pesa upole uweke pembeni unatakiwa uwe na roho mbaya omba likizo isiyokuwa na malipo na uwanze kuzunguka kufuatilia haki yako lakini uwe na ushahidi vinginevyo atakugeuka vibaya na usiwe na la kumfanya.
Binafsi nimesoma kule miaka ya tisini mwishoni mpk elfu mbili mwanzoni ni kweli hata sisi kwa miaka hiyo tulikuwa tukisikia hayo mambo hivyo inawezekana kweli kukawa kuna ukweli wa hilo na ukizingatia haya mambo ya mahospitali na mambo ya kishirikina ni mambo yanayokwenda sambamba
Nb.Nashukuru...
Mkuu mimi ni mkatoliki na ni kiongozi pale kanisani ni kweli kanisa katoliki lina mifumo na utaratibu wake tena mzuri sana ndio maana mmeambiwa hata iyo katiba mnayo tumia ni imetokana na kanisa katoliki.
Lazima ijengwe nyumba ya Padres eneo la kanisa nasisitiza lazima sio ombi na pili ni kweli...
Unaoneka huwa unapishana na mengi...labda nikusanue tena kuna channel ya TNT 137 humo ni full action njoo na 113 na ukitaka series za kiswahili njoo 140
Kama upo dar kibebe hicho kisimbuzi na uwende nacho moja kwa moja pale buguruni watakurekebishia mkuu other wise fata ushauri wa mjumbe pale juu nunua dish la DSTV kama bajeti ipo vizuri.
Niliandika nikafuta mara3 lkn kabla sijakujibu naomba kutambua umri wako kwanza?
Kitu kingine punguza mihemko katika kuandika,jifunze kuandika kwa kutumia tafiti za kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.