Kimsingi Millya amefwatwa na wanaarusha, madiwani, viongozi wa chama na wanchama wa chadema wakimwomba agombee ubunge, kwa kuwa Lema ameshajeruhi wengi, amewatenda wengi hasa umma wa wanaarusha, sidhani inahitaji degree kujua Lema ni mhuni, tena asiye na shukrani, Lema hajawahi kutoa msaada kwa...