Mkuu, hata hapa ndani ya TZ ubaguzi upo! Hapa tunazungumzia ule ubaguzi mkubwa uona athiri utu wa mtu. Watu wa Bara la Asia, wanaongoza kwa ubaguzi hapa DUNIANI, wengine wafuatia.
Mkuu, hata hapa ndani ya TZ ubaguzi upo! Hapa tunazungumzia ule ubaguzi mkubwa uona athiri utu wa mtu. Watu wa Bara la Asia, wanaongoza kwa ubaguzi hapa DUNIANI, wengine wafuatia.
Mkuu kuna masomo mengi ya kufundishwa; badala ya elimu za dini, wekeni masomo kama "somo la madini" kwa vile Nchi yetu tumezungukwa na madini mengi, somo hili litawapatia watoto wetu elimu na ufahamu mzuri wa madini yetu toka elimu ya msingi. Nashauri elimu ya madini na sio dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.