Recent content by Chorter

  1. Chorter

    Waziri Bashe achague kulazimishwa na Mahakama au kutoa kwa hiari taarifa na matumizi ya pesa za umma mradi wa BBT

    Sio kwa ubaya kama unavodhani, mimi nina heka 2 ambazo nimeweka miundombinu ya umwagiliaji drip, najua gharama zake zipoje kwahiyo ni jambo zuri ukifanya utafiti kwanza ndipo uandike
  2. Chorter

    Waziri Bashe achague kulazimishwa na Mahakama au kutoa kwa hiari taarifa na matumizi ya pesa za umma mradi wa BBT

    Upo sahihi sana. Lakin umefanya reseach ukajua gharama ni tsh ngap kwa hilo eneo ? No research no right to talk!
  3. Chorter

    Wauzaji wa tangawizi

    Muhimu uhai 🙏🏿
  4. Chorter

    Wauzaji wa tangawizi

    Habari wanaJF, kutana na wasambazaji na wakulima wakubwa wa zao la TANGAWIZI kutoka rungwe- mbeya, tunajihusisha na kutoa huduma ya usambazaji wa TANGAWIZI kwa wafanya biashara kutoka seheme mbalimbali Tanzania bara, Tunatuma mzigo kiasi unachotaka kwa haraka na uhakika mkubwa, Pia tunatoa...
  5. Chorter

    Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

    Zitto saiz ni miongon mwa wanasiasa wanaohaha, sera zake hazina version, tangu kifo Cha mzee, mambo mengi yanadelay sana, kuanzia miradi yamaendeleo iliyokuwa inaenda kwakasi kubwa saizi imekuwa slow sana, na icho ndo kitu kilichofanya mirad ya umeme mingi ikwame kukamilika Kama matarajio...
  6. Chorter

    Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar

    Hii nchi n ngumu sana, muungano unatudhoofisha sana watu wa bara, haiingii akilin kugawa nafas za ajira pasipo kuzingatia idad ya watu, ata wangewapa wazanzibar 1% bdo kwenye ratio wao ndo wangekuwa wamenufaika Zaid, sasa hizo 21% n nyingi mno, muungano gani ambao unabeba upande mmoja, kule...
  7. Chorter

    Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu

    Uongozi na usimamiz n mbovu icho ndo chanzo kikubwa, yaan baada ya kupiga hatua kwenda mbele sasa nchi imeanza kupiga hatua kurud nyuma tena kwakasi kubwa, saizi tatizo la mgao wa maji mzee ashalimaliza kwazaidi ya 90%, baada ya mda mfupi tu tayari tumerudi kweny 10%,
  8. Chorter

    SoC01 Elimu ni silaha muhimu, lakini Maisha huanza kwa kuthubutu

    Shukran sana kiongozi, nimekuelewa na nitafanya marekebisho, ahsante!
  9. Chorter

    SoC01 Elimu ni silaha muhimu, lakini Maisha huanza kwa kuthubutu

    Mwanzoni wakati naanza sikuwa na mtaji wakutosha kwahiyo shughuli nyingi nilikuwa nazifanya mwenyewe, Mf; kulima na kupalilia, ila kwasasa huwa nashirikisha vibarua baadh ya majukumu kama mwaka huu wakati naandaa(kulima) shamba nilitafuta vijana 3 me nkawa wa4 pia nategemea kusaidiana na...
Back
Top Bottom