Recent content by chore

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

    Cdm wameingia kwenye mtego kirahisi mno waamini wasiamini swala hili litawaathiri pakubwa sana kimahesabu ccm madhaifu ya udini, ukanda,uchache wa fehdha nidham mbovu za wanachama Kwa viongozi na uropokaji ovyo wa viongozi wa sasa wa cdm Ccm itayafanyia KAZI madhaifu haya na kuimaliz cdm...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ijue katiba ya CHAUMMA

  3. C

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake

    Kwa maadili ya siasa za kitanzania hawafai Kwasanabu wao wamewadanganya wanachama kupita upole wa mbowe kumbe walikuwa na kosa la kula njama la kumpindua mbowe kosa hili chama kinojielewa halivumiliki Kwa kosa hili mbowe halaumiki kukataa TAL kwasanabu iliishaonesha udhaifu hastahik hata...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Lissu: Chadema kipo kibra na M/kiti hana ushawishi tena ndiyo maana hata anapoitisha maandamo ni yeye na binti yake wanahudhuria

    Siku chache zimebakia karibu itajulikana mbichi au mbivu
  5. C

    JamiiForums Tanzania Lissu: Chadema kipo kibra na M/kiti hana ushawishi tena ndiyo maana hata anapoitisha maandamo ni yeye na binti yake wanahudhuria

    Siku chache zimebakia karibu itajulikana mbichi au mbivu
  6. C

    JamiiForums Tanzania Lissu, Heche na Lema mnataka mtumie "ulipo tupo"? Mnaenda kujimaliza kisiasa

    Sikubaliani na eti TAL atapotea kisiasa akitoka cdm akubali kusajili chama km zito asije kibali kuingia chama kingine Cha upizani huo itakua mwisho wa kisiasa lkn anzishe chama aachane na kikoba Cha wachaga
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

    Wanasiasa wapizani Tanzania ni pasua kichwa jambo la muhim mbowe kusoma alama za nyakati
  8. C

    JamiiForums Tanzania Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!

    Watanzania ni watu wa ajabu sani ukiangalia kiundani Hali swala wengi wanaliangalia Kwa mitazamo ya kisiasa zaidi lkn serekali Hali swala hawatk kuliingia Moja Kwa wanajua baada ya kupitishwa tu kunachangamoto zitajitokeza Kwa hatua ya kwanza wanaangalia kujiridhisha ndani ya kipindi Fulani...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

    usilo lijua jifunze kwa wanao jua elimu yyt dunian ina thamani kwa sehem husika na km huhsik huwez kujua thaman yk
  10. C

    JamiiForums Tanzania Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

    ww kichwani mwako hamna kitu wahusika wanajua nn wanacho kifanya km hujui uliza wanao jua chuki hazi saidii kitu bibilia mliharibu wenyew kila siku mnaleta maboresho waislam kwao halipo hlo wameshaona athari zinazo jitokezo kwa waumin wakristo wengi hawaijui bibilia hata hio misingi yk waumin...
  11. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

    Baada ya utenguzi nilishajua chama kinajipanga kwa uchaguz 2025 nape anarudi kwenye chama swala la muda tu
  12. C

    JamiiForums Tanzania Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

    Bila shaka uko sahihi watanzania wengi wanapenda sifa za kijinga/uchawa kwa maana kifo cha m/nchi wakawaida hawaulizi kwann amezkwa sehem fulan lkn wtu maarufu wana maswali kemkem mm nililiona hilo kifo cha mzee mwinyi , hatupendi kuheshim mawazo ya familia ya marehm kuamua wp azikwe mpendwa wao.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

    Nadhani ni mwendolezo za chuki za udini lakini baada ya miaka 20 ijayo hatokua na nafasi ya kueleza chuki za udini tena kwani vizazi vyao vimeamka kwa speed sana
  14. C

    JamiiForums Tanzania Utawala wa ROMA umefanikiwa sana hapa duniani

    Katika uislam hamna mambo km hyo sadaka yk ukitoa inatumika kwa maghitaji ya kila siku ya msikiti na ndio mana wanamsemo ukiristo biashara lakini mnaanza kujua ukweli kadiri siku zinavo songa
Back
Top Bottom