Mm nadhan hapa tusizngumzie usimba n uyanga,TFF wanamatatz sana,ligi mbovu n utawala mbovu....basi wanashindwa hata kukopi kwawenzetu kenya au uganda? Kabla ratiba kupangwa z ligi zote africa kwnz CAF wanatoa ratba yao,so kwnn wasiiangalie ratb y CAF ilvyo ndo wakapanga nawao ratba yao..
Shame...
Jaman naomba kuuliza maswali yafuatayo ,naomba anaejua anijibu..
1.kwanani nafasi za kazi ya usalama wa taifa hazitangazwi?
2.na vipi mtu anaweza kuajiriwa kuwa usalama wa taifa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.