Recent content by Chongeni

  1. Chongeni

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Hahahahha sidhani, I hope wengi waliulizwa kuhusu salary
  2. Chongeni

    Msaada namna ya kulipa witholding tax kwenye mfumo wa TRA taxpayer portal

    1) Login kwenye Taxpayer account yako. 2) Click sehemu imeandikwa File Returns 3) Mfumo utakupeleka kwenye Dashboard, Kisha kwa juu kuna sehemu kumeandikwa Manage Tax, basi Click hapo 4) Ukisha Click zitakuja Options, wewe chagua Withhold Option na kisha Chagua Option iliyoandikwa Batch 5)...
  3. Chongeni

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Asante kwa kutupa moyo watu kama sisi. Ubarikiwe
  4. Chongeni

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Mpaka nimekumbuka hayo maswali mkuu bado Una-judge uwezo wangu? Mpaka nimepita kutoka Written interview kwa 65 bado unani-judge mkuu? Elewa situation yangu hasa Fresh degree graduate (2024) kama mimi. Huwezi kuamini, mpaka nimeyakumbuka maana yake niliweza kuyajibu yote lakini sio kwa kiasi...
  5. Chongeni

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Aisee pole sana. Lakini usijali, Hope everything will be okay.
  6. Chongeni

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Nimejipanga vizuri, nimesoma kila sehemu. Lakini ile kuingia tu kwenye chumba cha wadosi nikawekwa mtu kati, watu wananikodolea macho, mungu wangu…… Nikajikuta kila kitu nimesahau. Maswali yalikuwa rahisi sana, nilipotoka tu kwenye kile chumba cha Oral na kufika nyumbani, majibu yakaanza...
  7. Chongeni

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Halafu hizi habari za pepa kuvuja (watu kuwa na mtihani kabla) pia nimeziona kwenye Comment za TRA watu wakilalamika, aisee kama ndo hivi basi ajira za TRA zirudishwe utumishi sasa. Mfano hizi screenshot nilizoziweka utaona malalamiko na watu wameweka mpaka Maswali.
  8. Chongeni

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Yes wamefanyiwa Fair kabisa kiongozi, sasa unawekaje evidence ya qualification ambayo umeiweka kwenye CV yako, usiweke educational qualification ambayo bado cheti chake huna, unawekaje una CPA Wakati bado huna cheti cha CPA. Kwa Position ya Accountant pia walitaka kwa Mtu kwenye Degree Plus...
  9. Chongeni

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Sure, hapo nasemea Position ya Tax Management Officer (TMO).
  10. Chongeni

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Yani siri kuu ya kufaulu Written Interview za TRA kuajiri wenyewe katika Position ya TMO, ni kujipika na Public Finance & Taxation (B4), Advanced Taxation (C4), pamoja na kusoma Tax Acts kama VAT Act, Income Tax Act, na Tax Administration Act. Baada ya hapo ingia kwenye pepa Yao. Tena hasa hii...
  11. Chongeni

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    We jamaa embu acha kutudanganya na majibu yako ya uongo kutoka wapi sijui CHATGPT huko. Input VAT tafuta kwenye Leather na Advertisement tu, Insurance ni Exempted from VAT kwahyo inakuwa Nil/Zero. Output VAT tafuta kwenye Sales of leather handbags tu, Children books, printed books na New print...
Back
Top Bottom