Recent content by chogo john

  1. C

    Pole MWIGULU NCHEMBA, Umechelewa sana kumfahamu LOWASSA

    Mwigulu ameanza upayukaji anatumika vibaya maccm wahaha kuokoa jahazi maana chombo kinazama
  2. C

    Hatimaye CHADEMA yawabadilisha watu wa Mbinga Mkoani Ruvuma

    Ccm hawaNA chao mwaka huu watashikana uchawi kama sio kurogana kabisa. "tulianza na mungu tutamaliza na mungu by lema mp"
  3. C

    DC wa Kinondoni(Makonda) yupo anamsimanga Lowassa

    Makonda inabidi akachunguzwe Akili hana hoja na pia upeo wake mdogo
  4. C

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Lowassa hakika ni chaguo hivyo kila hila itakayoinuaka kinyume na mpango huu haitafanikiwa,unapozungumzia lowassa unazungumzia talented person ambaye anaweza kuivusha nchi na kurudisha matumaini ya watanzania,hilo halina ubishi
Back
Top Bottom