hizo zote ni propaganda, chadema ndio mmelewa siasa hata kwenye mambo ya msingi na uzalendo. somebody should wake tundu lissu up naona amelewa madaraka na siyo rais.
"mtu yeyote mwenye taarifa yoyote kuhusu tukio hilo, anatakiwa kuzitoa polisi badala ya kuzungumza na vyombo vya habari."
LISSU NI ACCACIA NA ACCACIA WANASIMAMIWA IMMMA ADVOCATES na hao hao advocates ndio wanaomsaidia lissu kwenye kesi zake... za kuambiwa changanya na zako?
ACHENI KULETA...
yule bibi sio mzima kabisa ...atakuwa anamatatizo upstairs mbona hajatoa tamko kwa mtoto nora aliyejinyonga ...
ila angekuwa mbowe na machizi wenzie wametukanwa ingekuwa nuksi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.