Yeah Poa, kwahiyo nikiamua kuchukua chumba peke yangu au watu wawili inakubalika, ilimladi tuwe na hiyo 50..?? Nipe Contact zake au na wewe ni mmoja wetu ..?!
Hiv pana umbali gan (km) kutoka Boko mpaka tegeta ..?
Kwa kwenda huko, ukitoka Boko si unapita Bunju ndio Tegeta, Au ..?! nadhan mi...
Unamaanisha LAKI TANO ..?!
Ina vyumba vingap, mana hapo nadhan ni watu kuchanga tu, kuichukua yote kwa pamoja au auze chumba kimoja kimoja, kama ni hall lisilo na vyumba, atoe gharama ya mtu mmoja mmoja ...?! Vitanda, Meza ..?!
Hata mi nashangaa, naona watu wapo kimya au furaha imewazidi ..?! Mana mihemuko ya kusubiria nafas ulikuwa juu sana
Leten habari wazee,
>Mnapokelewaje, nin kitu muhim zaid na cha kuzingatia, gharama muhim za usajir, masomo yanaanza lin ..?!
Yap, umeelezea vizur mkuu, nimewah kuiona kwenye ngaz nyingine pia kwa watu walioanzia Diploma kwenda degree, mishahara yao huwa hivyo ingawa kwa hapa sina uhakika mana nchi yetu nayo huwa inakizunguzungu linapoanzishwa swala jipya ...!!
Napenda kujua ni Masters zip ambazo MD ataruhsiwa kwenda...
Yap, Ni kweli uamuzi ni wake, hilo la AMO, Ili ukasome amo ni lazima uwe c.o, huwezi kutoka form 4 au 6 ukaenda AMO moja kwa moja labda kama kuna utaratibu mpya siku hizi ..
Internal medicine or general medicine (in Commonwealth nations) is the medical specialty dealing with the prevention, diagnosis, and treatment of adult diseases. Physicians specializing in internal medicine are called internists, or physicians (without a modifier) in Commonwealth nations...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.