"Kila mtenda mema malipo yake ni kwa Mungu", Biblia inasema Mtakalo lifungua Duniani na kwa Mungu litafunguliwa na kila mtakalo lifunga na Mbinguni litafungwa vivyo hivyo. Kazi hii anayo ifanya Mtumishi wa Mungu Mwakyembe ni dhahiri kabisa kwamba inabaraka za watu wengi ndio maana kila mmoja...
Hizo mahakama Jamani zina wataalam mbona mnataka kuwa waendesha Mashtaka kwani kesi zote za cdm lazima washinde tuwe wastaarabu Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa kweli waungwana mmenena. Sikuhizihata hao Majenerali hawataki watoto washiriki vitan hata kwenda kulinda Amani huko Somalia na kwingineko.
Na lilelile alilo likataaa Mwalimu ndo linatoke kwakusomesha watoto wao Ulaya huku watoto wa Makabwela waki saga jua na Mvua huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.