Recent content by Chitiva

  1. C

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Utamtuhumu kwa lipi rostam badala ya kuituhumu serikali ya nchi yako?. Rostam sio rais wala waziri au mbunge anahusika vipi na madudu ya serikali? Rostam ni mfanyabiashara na kanuni ya biashara ni kupata faida. Kama anapendelewa na serikali kwanini usipambane na serikali yako? Mtu ameajiri...
  2. C

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Binafsi siamini dini ya mtu ina mchango katika kuboronga kwake kwenye uongozi bali ni tabia na hulka ya mtu binafsi. Mtu kama kassim majaliwa, profesa janabi, bashiru ally, sidhani Kama wana tuhuma za ufisadi. Lakini Mimi naamini kuwa Kama Kuna kitu kinaweza kuwa msaada basi ni mifumo imara na...
  3. C

    Imeandikwa wapi kwamba Urais wa Tanzania ni wa kupokezana Kati ya Muslim na Catholic?

    Hicho kitu hakipo, nani alikuambia kuwa kuna kupokezana kwa kuzingatia dini hizo? Hii imetokea kwa bahati mbaya tu hapa tz: nyerere(mkristo), mwinyi(muislamu), mkapa(mkristo) jakaya(muislamu), magufuli(mkristo). Kama ccm ingekuwa na utaratibu kama huo basi fomu zingekuwa zinagawiwa kwa watu wa...
  4. C

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Ni kweli kabisa, kama mpendwa wetu aliuawa basi vyombo vinavyohusika na ulinzi wake ndiyo vinatakiwa vitueleze vizuri walikuwa wapi wakati hii hali ikitokea. Inawezekana hao watu wanaotajwa ni kuwaonea tu maana Kama unaushahidi uliotimia upeleke
  5. C

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Nyerere alitaka kuiondoa hiyo hali kwa kumshawishi Salim Ahmed Salim achukue fomu baada ya mwinyi, bahati mbaya hakushawishika. Hayo ni maneno ya jk. Lakini je ni kweli upande wa pili yaani wakristo wangelipokea hilo kwa moyo kunjufu ukizingatia tulikuwa tumetoka kwenye utawala wa mwinyi ambaye...
  6. C

    Je wajua? Jumlisha Marekani, china na ulaya kwa pamoja ni ndogo kuliko bara la Afrika

    Hapa Hapa hata Mimi umenichanganya. Inamaana dunia haizunguki Kama tufe hebu nipe elimu kidogo au reference nami nikajielimishe
  7. C

    Generali ‘Sani Abacha’ wa Tanzania anasafisha njia vizuri sana kwa ajili ya mwanae 2030. Mji wa Mombo Tanga umepotea

    Hapana, hata kunijua hanijui ila hata kwa kutumia akili za kawaida tuu hili Jambo sio rahisi. Katika namna nyingine hizi ni dharau kwa wanaccm na mwenyekiti eti mstafu mmoja anaweza kuweka mwanae kuwa kiongozi bila ridhaa zao. Acheni kumchafua mzee jk
  8. C

    Generali ‘Sani Abacha’ wa Tanzania anasafisha njia vizuri sana kwa ajili ya mwanae 2030. Mji wa Mombo Tanga umepotea

    Hapana, hata kunijua hanijui ila hata kwa kutumia akili za kawaida tuu hili Jambo sio rahisi. Katika namna nyingine hizi ni dharau kwa wanaccm na mwenyekiti eti mstafu mmoja anaweza kuweka mwanae kuwa kiongozi bila ridhaa zao. Acheni kumchafua mzee jk
  9. C

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Inawezekana kwa wale wenye uelewa Ila miaka ya nyuma kidogo kuuvunja muungano ndiyo ilikuwa turufu ya chama cha cuf, enzi za maalim. Na ulikuwa ukiwasikiliza walivyo na chuki dhidi ya muungano mpaka unajiuliza kwanini sisi wa bara tunaulazimisha hiki kitu wakati wenzetu hawataki
  10. C

    Generali ‘Sani Abacha’ wa Tanzania anasafisha njia vizuri sana kwa ajili ya mwanae 2030. Mji wa Mombo Tanga umepotea

    Sijui kwanini watu wanamuona kikwete anaweza kufanya lolote kwenye uongozi wa nchi hii. Lengo hasa ni nini? Kama alishindwa kumuweka mtu wake kipindi akiwa rais atawezaje sasahivi akiwa mstaafu!! Acheni kumzushia mzee wa watu hana nguvu hizo na hata kama ikitokea binafsi siwezi kuamini kama ni...
  11. C

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Zile kelele zilizokuwa zinapigwa na wazanzibar sasa wanapiga watanganyika. Kwa taarifa yako muungano tunaulazimisha sisi watanganyika, wazanzibar wanaona tunawachelewesha kuendelea kutokana na huu muungano.
  12. C

    Gwajima anapohubiri udini na kuchochea uasi kwa waamini wa kikristu dhidi ya mamlaka za serikali na michakato ya kidemokrasia anajua athari zake?

    Uzuri muasisi wa utekaji alikuwa mkristo na ni kabila moja na gwaji boy lakini hata maneno hayakumtoka hapo ndiyo pana ukakasi na kila mmoja analichukulia kwa mtazamo wake suala hilo Ila sio shida tunaamini roho mtakatifu kamrudishia macho ya kuona maovu
  13. C

    Hii ya Yanga kuchangia CCM na kushindwa kuchangia CHADEMA au vyama vingine vya siasa imekaaje

    Kosa kubwa Sana hilo. Hivi mbona watu wanapenda Sana kujipendekeza ?
  14. C

    CCM Mwaka huu wakitoboa ntatembea kwa miguu toka Mwanza to Dar kwa miguu

    Chama kinatoboa bila wasiwasi ni wewe tu na ndoto zako zisizo na maana. Kama kilishindwa kufa 2015 kipindi hicho late lowassa na membe wanamisuli yao sembuse sasa? Nani wakuleta misukosuko hiyo kwa sasa Kama lowassa na membe walishindwa kuvunja chama? Ccm ipo Sana na itaendelea kuwepo na mama...
Back
Top Bottom