Recent content by Chingekembi

  1. C

    Hizi ndio gharama za kwenda kuombewa na Nabii mmoja aliyepo Buza

    Kama ni kweli na hakika ni kweli tupu unachokisema basi hapo hapana Mungu wa Kweli(Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo) Mungu Baba wa Yesu Kristo wa Nazareth. Lkn kama sio kweli, na hayo yote uliyoyasema umesikia tu porojo mtaani, aisee, nakuhurumia, maana utakutaba sasa na Mungu wake wa kweli!
  2. C

    Mliomuibia mdogo wangu magunia 70 ya mahindi Singida rudisheni tafadhali

    Stori ya kutunga hiyo, hata maudhui hayaendani na nia ya kupost(kutaka ushauri)! Kwanza huwezi kusafirisha mzigo mkubwa huo bila kujua anwani ya mteja, 2-mteja ndo angesema destination na kituo cha kupakulia ili iwe rahisi kupokea na kufanyia biashara zake! 3-Mara nyingi wasafiridhaji wanachukua...
  3. C

    Nimeumia sana hii mechi yetu na Morocco, nimeumia sana na timu yetu ya taifa

    Aah ndugu, Kuumia, kukasirika, kustuka nk ni zao la tukio usilotegemea au moyo wako haukujitayarisha kabisa kupokea hilo; sasa kipigo cha Stars kutoka kwa Morocco hukukitegemea? Hivi tuwe serious tujiulize kupitia mfano huu: Mbwa kumuuma binadamu na binadamu kumuuma mbwa, hapo habari...
  4. C

    Tusijenge majumba makubwa tukistaafu yanachangia upweke

    Baelezee papa'! We kama huna uwezo wa kuoata kiwanja kikubwa na kujenga llbangaloo, usijifariji hapa. Huna, huna tu, aliyenacho mwache atambe kwenye compound lake. Anaweza ogekea kwenye swimming pool, cheza tenis peke yake, fujuzana na mbwa wake bila kelele na bado halalamiki maisha magumu. Watu...
  5. C

    Joti kateleza hapa

    Mara ya kwanza kusoma hili bandiko nlitaka kukereka, lkn nlivyosoma comments za wadau ikanibidi nirudia kusoma heading na contents zake. Kwa mbaali nakubaliana na mtoto wa bint Mbala(hii kuonesha Lukasi namfahamu vzr). Ni kweli kuna muda wa kuchacharika ili upate settlement (ueleweke uko wapi...
  6. C

    Shida ilivyonichochea kuwa mlafi wa kuisoma Biblia

    The Bible is infallible and inerrant word of God. Imejaa maarifa ya kila aina. Kuanzia k, wajibu ktk dunia, kujitafutia mali, kupata mwenza, kutunza mke na familia kwa ujumla, kuwajibika kwa wazazi, familia, taifa na jamii ikuzungukayo nk. Biblia pia inakupa Nguvu ya kushinda vita ktk ulimwengu...
Back
Top Bottom