Kama unaakili timamu na ni mtanzania harisi angalia chadema uongozi wa juu wote moshi,kilimanjaro tu mpaka na wake zao na madada zao wananyazifa za juu chadema ww unashabikia tu subili maguful ashike dora ufuraie tanzania ya maguful usipoteze kula yako maguful√ mbunge wa ccm√ diwani...
Sio kumshitaki yani uyo nikufungwa maisha milele ndo mwizi wamali za tanzania eti ndo cdm wanamuona anafaa kushika dora mnafikiri dora ni ya ukabila atumtaki lowasaaaa afaiiiiiii ataweka tanzania reani atukubali, maguful karibu ikulu kwa moyo safi make kikwete kasha safisha eneo ccm oyeeeeee...
Ukawa amkuwa na ngombea? Mpaka mnanunuliwa na,mtu aliekoswa sifa ccm ndo mnamuona bora ivi amjui mmenunuliwa na lowasa kwa bilion 10 nyie wapiga kelele ndo mtaji wa mtei, mbowe,disamburo waliwalagha kuwa wanadai chama wakalamba bilion 5 poleni watanzania wenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.